Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 109:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kutanga na watange wanawe na kuomba, Watafute chakula mbali na mahame yao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watoto wake watangetange na kuombaomba; wafukuzwe katika magofu ya nyumba zao!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watoto wake watangetange na kuombaomba; wafukuzwe katika magofu ya nyumba zao!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watoto wake watangetange na kuombaomba; wafukuzwe katika magofu ya nyumba zao!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watoto wake na watangetange wakiomba, na wafukuzwe kwenye magofu ya nyumba zao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watoto wake na watangetange wakiomba, na wafukuzwe kwenye magofu ya nyumba zao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kutanga na watange wanawe na kuomba, Watafute chakula mbali na mahame yao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 109:10
10 Marejeleo ya Msalaba  

na imwangukie Yoabu kichwani pake, na nyumba yote ya babaye, tena hiyo nyumba ya Yoabu isikose kuwa na mtu mwenye kutoka damu, au aliye na ukoma, au mwenye kutegemea fimbo, au mwenye kuanguka kwa upanga au mwenye kuhitaji chakula.


Basi ukoma wa Naamani utakushika wewe, na wazao wako hata milele. Naye akatoka usoni pake mwenye ukoma kama theluji.


Watoto wake wakiongezeka ni kwa upanga; Na wazao wake hawatashiba chakula.


Watoto wake wako mbali na wokovu, Nao wamesongwa langoni, Wala hapana atakayewaponya.


Nilikuwa kijana na sasa ni mzee, Lakini sijamwona mwenye haki ameachwa Wala mzawa wake akiomba chakula.


Wanatangatanga wakitafuta chakula; Na kunung'unika wasiposhiba.


Na binti za Moabu watakuwa kama ndege warukao huku na huko, kama kiota cha ndege waliotiwa hofu, kwenye vivuko vya Arnoni.