Zaburi 107:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Maana hushibisha nafsi yenye shauku, Na nafsi yenye njaa huijaza mema. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Yeye huwatosheleza walio na kiu; na wenye njaa huwashibisha mema. Biblia Habari Njema - BHND Yeye huwatosheleza walio na kiu; na wenye njaa huwashibisha mema. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Yeye huwatosheleza walio na kiu; na wenye njaa huwashibisha mema. Neno: Bibilia Takatifu kwa maana yeye humtosheleza mwenye kiu, na kumshibisha mwenye njaa kwa vitu vyema. Neno: Maandiko Matakatifu kwa maana yeye humtosheleza mwenye kiu, na kumshibisha mwenye njaa kwa vitu vyema. BIBLIA KISWAHILI Maana hushibisha nafsi yenye shauku, Na nafsi yenye njaa huijaza mema. |
Wanasimba hutindikiwa, na kuona njaa; Bali wamtafutao BWANA hawapungukiwi kitu chochote kilicho chema.
Nami nitaishibisha roho ya makuhani kwa unono, na watu wangu watashiba kwa wema wangu, asema BWANA.