Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 107:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maana hushibisha nafsi yenye shauku, Na nafsi yenye njaa huijaza mema.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeye huwatosheleza walio na kiu; na wenye njaa huwashibisha mema.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeye huwatosheleza walio na kiu; na wenye njaa huwashibisha mema.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeye huwatosheleza walio na kiu; na wenye njaa huwashibisha mema.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa maana yeye humtosheleza mwenye kiu, na kumshibisha mwenye njaa kwa vitu vyema.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa maana yeye humtosheleza mwenye kiu, na kumshibisha mwenye njaa kwa vitu vyema.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana hushibisha nafsi yenye shauku, Na nafsi yenye njaa huijaza mema.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 107:9
11 Marejeleo ya Msalaba  

Hakika nitavibariki vyakula vyake Wahitaji wake nitawashibisha chakula.


Huwafanyia hukumu walioonewa, Huwapa wenye njaa chakula; BWANA hufungua waliofungwa;


Wapole watakula na kushiba, Wamtafutao BWANA watamsifu; Mioyo yenu na iishi milele.


Wanasimba hutindikiwa, na kuona njaa; Bali wamtafutao BWANA hawapungukiwi kitu chochote kilicho chema.


Njoni, enyi wana, mnisikilize, Nami nitawafundisha kumcha BWANA.


Nami nitaishibisha roho ya makuhani kwa unono, na watu wangu watashiba kwa wema wangu, asema BWANA.


Kwa maana nimeishibisha roho yenye uchovu, nami nimeiridhisha kila roho yenye huzuni.


Heri wenye njaa na kiu ya haki; Maana hao watashibishwa.


Wenye njaa amewashibisha mema, Na wenye mali amewaondoa mikono mitupu.