Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 107:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wakamlilia BWANA katika dhiki zao, Akawaponya na shida zao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ndipo katika taabu yao wakamlilia Mwenyezi-Mungu, naye akawaokoa katika mateso yao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ndipo katika taabu yao wakamlilia Mwenyezi-Mungu, naye akawaokoa katika mateso yao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ndipo katika taabu yao wakamlilia Mwenyezi-Mungu, naye akawaokoa katika mateso yao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo walipomlilia Mwenyezi Mungu katika shida yao, naye akawaokoa kutoka taabu yao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo walipomlilia bwana katika shida yao, naye akawaokoa kutoka taabu yao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakamlilia BWANA katika dhiki zao, Akawaponya na shida zao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 107:6
14 Marejeleo ya Msalaba  

Katika shida yangu nilimwita BWANA, Naam, nikamlalamikia Mungu wangu; Naye akaisikia sauti yangu hekaluni mwake, Kilio changu kikaingia masikioni mwake.


Lakini aliyaangalia mateso yao, Aliposikia kilio chao.


Wakamlilia BWANA katika dhiki zao, Akawaponya kutoka kwa shida zao.


Wakamlilia BWANA katika dhiki zao, Akawaponya kutoka kwa shida zao.


Wakamlilia BWANA katika dhiki zao, Akawaponya kutoka kwa shida zao.


Uniite siku ya mateso; Nitakuokoa, nawe utanitukuza.


Ataniita nami nitamwitikia; Nitakuwa pamoja naye taabuni, Nitamwokoa na kumtukuza;


Nitakwenda zangu niparudie mahali pangu, hata watakapoungama makosa yao na kunitafuta uso wangu; katika taabu yao watanitafuta kwa bidii.


na upendo, na subira; tena na adha zangu na mateso, mambo yaliyonipata katika Antiokia, katika Ikonio, na katika Listra, kila namna ya adha niliyoistahimili, naye Bwana aliniokoa katika hayo yote.