Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 107:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wakapanda mbegu katika mashamba, Na kutia mizabibu iliyotoa matunda yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walilima mashamba na kupanda mizabibu, wakavuna mazao kwa wingi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walilima mashamba na kupanda mizabibu, wakavuna mazao kwa wingi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walilima mashamba na kupanda mizabibu, wakavuna mazao kwa wingi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walilima mashamba na kupanda mizabibu, nayo ikazaa matunda mengi,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walilima mashamba na kupanda mizabibu, nayo ikazaa matunda mengi,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakapanda mbegu katika mashamba, Na kutia mizabibu iliyotoa matunda yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 107:37
16 Marejeleo ya Msalaba  

Mwaka huo Isaka akapanda mbegu katika nchi ile, naye akapata mavuno mara mia zaidi. BWANA akambariki.


Na kwako wewe dalili ndiyo hii; mwaka huu mtakula vitu vimeavyo vyenyewe; na mwaka wa pili mtakula mazao ya mbegu za vitu hivyo; na mwaka wa tatu pandeni mbegu, kavuneni; mkapande mizabibu katika mashamba, mkale matunda yake.


Nao watajenga nyumba, na kukaa ndani yake; watapanda mizabibu, na kula matunda yake.


Jengeni nyumba, mkakae ndani yake, kapandeni bustani, mkale matunda yake;


Mara ya pili utapanda mizabibu juu ya milima ya Samaria; wapanzi watapanda, nao watayafurahia matunda yake.


Nao watakaa humo salama; naam, watajenga nyumba, na kupanda mashamba ya mizabibu, na kukaa salama; nitakapokuwa nimetekeleza hukumu zangu juu ya watu wote, wanaowatenda mambo ya jeuri pande zote; nao watajua ya kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wao.


Kwa maana itakuwako mbegu ya amani; mzabibu utatoa matunda yake, nayo ardhi itatoa mazao yake, na hizo mbingu zitatoa umande wake; nami nitawarithisha mabaki ya watu hawa vitu hivi vyote.


Lakini hakujiacha pasipo ushuhuda, kwa kuwa alitenda mema, akiwapeni mvua kutoka mbinguni, na nyakati za mavuno, akiwashibisha mioyo yenu chakula na furaha.


Hivyo, apandaye si kitu, wala atiaye maji, bali Mungu akuzaye.


Na yeye ampaye mbegu mwenye kupanda, na mkate uwe chakula, atawapa mbegu za kupanda na kuzizidisha, naye atayaongeza mazao ya haki yenu;