Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 107:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na wamtukuze katika kusanyiko la watu, Na wamhimidi katika baraza la wazee.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtukuzeni katika kusanyiko la watu, na kumsifu katika baraza la wazee.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtukuzeni katika kusanyiko la watu, na kumsifu katika baraza la wazee.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtukuzeni katika kusanyiko la watu, na kumsifu katika baraza la wazee.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Na wamtukuze yeye katika kusanyiko la watu, na wamsifu katika baraza la wazee.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Na wamtukuze yeye katika kusanyiko la watu, na wamsifu katika baraza la wazee.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wamtukuze katika kusanyiko la watu, Na wamhimidi katika baraza la wazee.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 107:32
16 Marejeleo ya Msalaba  

Haleluya. Nitamshukuru BWANA kwa moyo wangu wote, Barazani pa wanyofu wa moyo na katika mkutano.


Nitazinena shuhuda zako mbele ya wafalme, Wala sitaona aibu.


BWANA ndiye aliye hai; Na ahimidiwe mwamba wangu; Na atukuzwe Mungu wa wokovu wangu;


Nitalihubiri jina lako kwa ndugu zangu, Katikati ya kusanyiko nitakusifu.


Kwako zinatoka sifa zangu Katika kusanyiko kubwa. Nitaziondoa nadhiri zangu Mbele yao wamchao.


Mguu wangu umesimama palipo sawa; Katika kusanyiko kuu nitamhimidi BWANA.


Nitakushukuru katika kusanyiko kubwa; Nitakusifu kati ya watu wengi.


Tulieni, mjue ya kuwa Mimi ni Mungu, Nitakuzwa katika mataifa, nitakuzwa katika nchi.


Njoni, sikieni, ninyi nyote mnaomcha Mungu, Nami nitayatangaza aliyonitendea roho yangu.


Mtukuzeni BWANA, Mungu wetu; Sujuduni penye kiti cha miguu yake; Ndiye mtakatifu.


Mtukuzeni BWANA, Mungu wetu; Sujuduni mkiukabili mlima wake mtakatifu; Maana BWANA, Mungu wetu, ni mtakatifu.


BWANA ni nguvu zangu, na wimbo wangu; Naye amekuwa wokovu wangu. Yeye ni Mungu wangu, nami nitamsifu; Ni Mungu wa baba yangu, nami nitamtukuza.


Na katika siku hiyo mtasema, Mshukuruni BWANA, liitieni jina lake; Yatangazeni matendo yake kati ya mataifa, Litangazeni jina lake kuwa limetukuka.


Ee BWANA, wewe u Mungu wangu; Nitakutukuza na kulihimidi jina lako; Kwa kuwa umetenda mambo ya ajabu, Mashauri ya kale, kwa uaminifu na kweli.