Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 107:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na wamshukuru BWANA kwa fadhili zake, Na maajabu yake kwa wanadamu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mshukuruni Mwenyezi-Mungu kwa fadhili zake; kwa sababu ya maajabu aliyowatendea binadamu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mshukuruni Mwenyezi-Mungu kwa fadhili zake; kwa sababu ya maajabu aliyowatendea binadamu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mshukuruni Mwenyezi-Mungu kwa fadhili zake; kwa sababu ya maajabu aliyowatendea binadamu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi na wamshukuru Mwenyezi Mungu kwa upendo wake usiokoma, na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi na wamshukuru bwana kwa upendo wake usiokoma, na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wamshukuru BWANA kwa fadhili zake, Na maajabu yake kwa wanadamu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 107:21
6 Marejeleo ya Msalaba  

Walakini Hezekia hakuwa na shukrani kadiri alivyofadhiliwa; kwa kuwa moyo wake ulijawa na kiburi; kwa hiyo ikawako hasira juu yake, na juu ya Yuda na Yerusalemu.


Na wamshukuru BWANA kwa fadhili zake, Na maajabu yake kwa wanadamu.


Na wamshukuru BWANA kwa fadhili zake, Na maajabu yake kwa wanadamu.


Na wamshukuru BWANA, kwa fadhili zake, Na maajabu yake kwa wanadamu.


Njoni myaone matendo ya Mungu; Hutisha kwa mambo awatendayo wanadamu;


Je! Hawakuonekana waliorudi kumpa Mungu utukufu ila mgeni huyu?