Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 107:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hulituma neno lake, huwaponya, Huwatoa katika maangamizo yao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa neno lake aliwaponya, akawaokoa wasiangamie.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa neno lake aliwaponya, akawaokoa wasiangamie.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa neno lake aliwaponya, akawaokoa wasiangamie.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akalituma neno lake na kuwaponya, akawaokoa kutoka maangamizi yao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akalituma neno lake na kuwaponya, akawaokoa kutoka maangamizo yao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hulituma neno lake, huwaponya, Huwatoa katika maangamizo yao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 107:20
14 Marejeleo ya Msalaba  

Huipeleka amri yake juu ya nchi, Neno lake lapiga mbio sana.


Huwaponya waliopondeka moyo, Na kuyaganga majeraha yao.


Mwimbieni BWANA zaburi, Enyi watauwa wake. Na kutoa shukrani. Kwa kukumbuka utakatifu wake.


Bali Mungu atanikomboa nafsi yangu, Atanitoa mkononi mwa kuzimu, maana atanipokea.


Maana umeniponya nafsi yangu na mauti; Je! Hukuizuia miguu yangu isianguke? Ili niende mbele za Mungu Katika nuru ya walio hai.


Yule afisa akamjibu, akasema, Bwana, mimi sistahili wewe uingie chini ya dari yangu; lakini sema neno tu, na mtumishi wangu atapona.


Yesu alipomwona alimwita, akamwambia, Mama, umefunguliwa katika udhaifu wako.