Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 107:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa sababu waliyaasi maneno ya Mungu, Wakalidharau shauri lake Aliye Juu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

kwa sababu waliasi maagizo ya Mungu, na kuyapuuza mashauri yake Mungu Mkuu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

kwa sababu waliasi maagizo ya Mungu, na kuyapuuza mashauri yake Mungu Mkuu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

kwa sababu waliasi maagizo ya Mungu, na kuyapuuza mashauri yake Mungu Mkuu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa sababu waliasi dhidi ya maneno ya Mungu, na kudharau ushauri wa Aliye Juu Sana.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa sababu walikuwa wameasi dhidi ya maneno ya Mungu na kudharau shauri la Aliye Juu Sana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa sababu waliyaasi maneno ya Mungu, Wakalidharau shauri lake Aliye Juu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 107:11
23 Marejeleo ya Msalaba  

Naye BWANA akasema na Manase, na watu wake; wala wasiangalie.


lakini waliwadhihaki wajumbe wa Mungu, na kuyadharau maneno yake, na kuwacheka manabii wake, hata ilipozidi ghadhabu ya BWANA juu ya watu wake, hata kusiwe na kuponya.


Mara nyingi aliwaponya, Bali walikuwa wakimwasi kwa mashauri yao, Wakawa dhalili kwa uovu wao.


Baba zetu katika Misri Hawakuzingatia matendo yako ya ajabu; Hawakukumbuka wingi wa fadhili zako; Wakaasi penye bahari, Bahari ya Shamu.


Shuhuda zako nazo ndizo furaha yangu, Na washauri wangu.


Wewe umepaa juu, umeteka mateka, Umepewa vipawa katikati ya wanadamu; Naam, hata na wakaidi, BWANA Mungu akae nao.


Mungu huwapa wapweke makao yao; Huwapa wafungwa uhuru na kuwafanikisha; Bali wakaidi huishi katika nchi kavu.


Utaniongoza kwa shauri lako, Na baadaye utanikaribisha kwa utukufu.


Walimwasi jangwani mara ngapi? Na kumhuzunisha nyikani!


Bali mmeupuuza ushauri wangu, Wala hamkutaka maonyo yangu;


Wasema, Na afanye haraka, aihimize kazi yake, tupate kuiona; na likaribie shauri lake aliye Mtakatifu wa Israeli, tupate kuliona.


Neno lile ulilotuambia kwa jina la BWANA, sisi hatutakusikiliza.


Basi Mafarisayo, ambao wenyewe ni wapenda fedha, waliyasikia hayo yote, wakamdhihaki.


Lakini, Mafarisayo na wanasheria walilipinga shauri la Mungu juu yao, kwa kuwa hawakubatizwa naye.


Kwa maana sikujiepusha na kuwahubiria habari ya kusudi lote la Mungu.


Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.