Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 106:44 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini aliyaangalia mateso yao, Aliposikia kilio chao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hata hivyo Mungu alizijali taabu zao, wakati aliposikia kilio chao;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hata hivyo Mungu alizijali taabu zao, wakati aliposikia kilio chao;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hata hivyo Mungu alizijali taabu zao, wakati aliposikia kilio chao;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini akaangalia mateso yao aliposikia kilio chao;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini akaangalia mateso yao wakati aliposikia kilio chao;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini aliyaangalia mateso yao, Aliposikia kilio chao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 106:44
15 Marejeleo ya Msalaba  

basi usikie huko mbinguni, ukaisamehe dhambi ya watu wako Israeli, na kuwarejeza tena katika nchi uliyowapa wao na baba zao.


Wakamlilia BWANA katika dhiki zao, Akawaponya kutoka kwa shida zao.


Wakamlilia BWANA katika dhiki zao, Akawaponya kutoka kwa shida zao.


Wakamlilia BWANA katika dhiki zao, Akawaponya kutoka kwa shida zao.


Wakamlilia BWANA katika dhiki zao, Akawaponya na shida zao.


Aliyetukumbuka katika unyonge wetu; Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Na kila wakati BWANA alipowainulia waamuzi, ndipo BWANA alikuwa pamoja na mwamuzi huyo, akawaokoa na mikono ya adui zao siku zote za mwamuzi huyo; maana BWANA alisikitishwa na kilio chao kwa sababu ya watu wale waliowaonea na kuwasumbua.


Kisha wana wa Israeli walipomlilia BWANA, BWANA akawainulia wana wa Israeli mwokozi, aliyewaokoa, yaani, Othnieli mwana wa Kenazi, ndugu mdogo wa Kalebu.


Wana wa Israeli wakamlilia BWANA; kwa kuwa Sisera alikuwa na magari ya chuma mia tisa ya vita; naye akawakandamiza sana wana wa Israeli muda wa miaka ishirini.


Kesho, wakati kama huu, nitakuletea mtu kutoka nchi ya Benyamini, nawe mtie mafuta ili awe mkuu juu ya watu wangu Israeli, naye atawaokoa watu wangu na mikono ya Wafilisti; maana nimewaangalia watu wangu, kwa sababu kilio chao kimenifikia.