Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 106:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ndipo Finehasi akasimama akafanya hukumu; Tauni ikazuiliwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Finehasi akasimama kufanya malipizi, na yale maradhi yakakoma.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Finehasi akasimama kufanya malipizi, na yale maradhi yakakoma.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Finehasi akasimama kufanya malipizi, na yale maradhi yakakoma.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini Finehasi alisimama na kuingilia kati, nayo tauni ikazuiliwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini Finehasi alisimama na kuingilia kati, nayo tauni ikazuiliwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo Finehasi akasimama akafanya hukumu; Tauni ikazuiliwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 106:30
9 Marejeleo ya Msalaba  

mwana wa Abishua, mwana wa Finehasi, mwana wa Eleazari, mwana wa Haruni, kuhani mkuu;


Uovu wako waweza kumwumiza mtu kama wewe; Na haki yako yaweza kumfaa mwanadamu.


Ndiposa wana wa Israeli hawawezi kusimama mbele ya adui zao; wakawapa visogo adui zao, kwa sababu wamelaaniwa; mimi sitakuwa pamoja nanyi tena, msipokiharibu kitu kile mlicho nacho kilichowekwa wakfu.