Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 106:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na kuwatawanya wazao wao kati ya mataifa, Na kuwatapanya katika nchi mbali.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

atawatawanya wazawa wao kati ya watu, na kuwasambaza duniani kote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

atawatawanya wazawa wao kati ya watu, na kuwasambaza duniani kote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

atawatawanya wazawa wao kati ya watu, na kuwasambaza duniani kote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kuwatawanya wazao wao waanguke miongoni mwa mataifa, na kuwatawanya katika nchi zote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kuwatawanya wazao wao waanguke miongoni mwa mataifa, na kuwatawanya katika nchi zote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na kuwatawanya wazao wao kati ya mataifa, Na kuwatapanya katika nchi za mbali.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 106:27
8 Marejeleo ya Msalaba  

Umetutoa kama kondoo tuwe chakula, Na kututawanya kati ya mataifa.


Hasira ya BWANA imewatenga, Yeye hatawaangalia tena; Hawakujali nafsi za wale makuhani, Hawakuwaheshimu wazee wao.


Tena niliwainulia mkono wangu jangwani, kwamba nitawatawanya kati ya mataifa, na kuwatapanya katika nchi mbalimbali;


Nanyi nitawatapanyatapanya katika mataifa, nami nitaufuta upanga nyuma yenu; na nchi yenu itakuwa ni ukiwa, na miji yenu maganjo.


Nawe utakuwa ushangao, na mithali, na dharau, kati ya mataifa yote huko atakakokuongoza BWANA.