Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 106:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Bali walitamani sana nyikani, Wakamjaribu Mungu jangwani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walijawa na tamaa kubwa kule jangwani, wakamjaribu Mungu kule nyikani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walijawa na tamaa kubwa kule jangwani, wakamjaribu Mungu kule nyikani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walijawa na tamaa kubwa kule jangwani, wakamjaribu Mungu kule nyikani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Jangwani walitawaliwa na tamaa zao, walimjaribu Mungu nyikani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Jangwani walitawaliwa na tamaa zao, walimjaribu Mungu nyikani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Bali walitamani sana nyikani, Wakamjaribu Mungu jangwani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 106:14
12 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini kabla ya kuitosheleza shauku yao, Huku chakula kikiwa bado kinywani mwao,


Kwa hiyo hao watu wakamgombeza Musa, wakasema, Tupe maji tunywe. Musa akawaambia, Kwa nini mnanigombeza? Mbona mnamjaribu BWANA?


Kisha mkutano wa wafuasi waliokuwa kati yao, wakashikwa na tamaa; wana wa Israeli nao wakalia tena, wakasema, Ni nani atakayetupa nyama tule?


kwa sababu watu hawa wote, ambao wameuona utukufu wangu na ishara zangu, nilizozitenda huko Misri, na huko jangwani, pamoja na haya wamenijaribu mara hizi kumi, wala hawakuisikiza sauti yangu;


Basi mambo hayo yalikuwa mifano kwetu, kusudi sisi tusiwe watu wa kutamani mabaya, kama wale nao walivyotamani.


Wala tusimjaribu Bwana, kama wengine wao walivyomjaribu, wakauawa na nyoka.


Tena huko Tabera, na Masa, na Kibroth-hataava mlimtia BWANA hasira.