Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 105:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yakumbukeni matendo yake ya ajabu aliyoyafanya, Miujiza yake na hukumu alizotoa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kumbukeni matendo ya ajabu aliyotenda, miujiza yake na hukumu alizotoa,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kumbukeni matendo ya ajabu aliyotenda, miujiza yake na hukumu alizotoa,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kumbukeni matendo ya ajabu aliyotenda, miujiza yake na hukumu alizotoa,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kumbuka matendo ya ajabu aliyoyafanya, miujiza yake na hukumu alizozitamka,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kumbuka matendo ya ajabu aliyoyafanya, miujiza yake na hukumu alizozitamka,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yakumbukeni matendo yake ya ajabu aliyoyafanya, Miujiza yake na hukumu alizotoa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 105:5
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA, Wala usizisahau fadhili zake zote.


Kwa midomo yangu nimezisimulia Hukumu zote za kinywa chako.


Ee BWANA, Mungu wangu, umefanya kwa wingi Miujiza yako na mawazo yako kwetu; Hakuna awezaye kufananishwa nawe; Kama ningependa kuyatangaza na kuyahubiri, Ni mengi sana hayahesabiki.


Nitayakumbuka matendo ya BWANA; Naam, nitayakumbuka maajabu yako ya kale.


Pia nitaitafakari kazi yako yote; Nitaziwaza habari za matendo yako.


Akatwaa mkate, akashukuru, akaumega, akawapa, akisema, [Huu ndio mwili wangu unaotolewa kwa ajili yenu; fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.


Kumbuka siku za kale, Tafakari miaka ya vizazi vingi; Mwulize baba yako, naye atakuonesha; Wazee wako, nao watakuambia.


Nawe utaikumbuka njia ile yote BWANA, Mungu wako aliyokuongoza miaka hii arubaini katika jangwa, ili akunyenyekeze, kukujaribu kuyajua yaliyo moyoni mwako, kwamba utashika amri zake, au sivyo.


Nikaisikia hiyo madhabahu ikisema, Naam, Bwana Mungu Mwenyezi, hukumu zako ni za kweli, na haki.


kwa kuwa hukumu zake ni za kweli na haki; maana amemhukumu yule kahaba mkuu aliyeiharibu nchi kwa uasherati wake, na kuipatiliza damu ya watumwa wake mkononi mwake.