Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 105:44 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akawapa nchi za mataifa, wakairithi kazi ya watu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Aliwapa nchi za mataifa mengine na kuwakabidhi mashamba ya wenyeji;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Aliwapa nchi za mataifa mengine na kuwakabidhi mashamba ya wenyeji;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Aliwapa nchi za mataifa mengine na kuwakabidhi mashamba ya wenyeji;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

akawapa nchi za mataifa, wakawa warithi wa mali ambayo wengine walikuwa wameitaabikia:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

akawapa nchi za mataifa, wakawa warithi wa mali wengine walikuwa wameitaabikia:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawapa nchi za mataifa, wakairithi kazi ya watu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 105:44
16 Marejeleo ya Msalaba  

na sheria, na hukumu, na torati, na amri, alizowaandikia, hizo ndizo mtakazozishika na kuzifanya hata milele; wala msiche miungu mingine.


Akawafukuza mataifa mbele yao, Akawapimia urithi kwa kamba, Na kuwakalisha makabila ya Israeli katika hema zao.


Ulileta mzabibu kutoka Misri, Ukawafukuza mataifa ukaupanda.


nao wakaingia, wakaimiliki; lakini hawakuitii sauti yako, wala hawakuenda katika sheria yako; hawakutenda neno lolote katika haya uliyowaagiza wayatende; basi, kwa sababu hii umeleta juu yao mabaya haya yote;


Basi Yoshua akaitwaa hiyo nchi yote, sawasawa na hayo yote BWANA aliyokuwa amemwambia Musa; Yoshua naye akawapa Israeli kuwa ni urithi wao, sawasawa na walivyogawanyikana kwa makabila yao. Kisha nchi ikatulia isiwe na vita tena.


Basi BWANA aliwapa Israeli nchi hiyo yote, ambayo aliapa kwamba atawapa baba zao; nao wakaimiliki, na kukaa humo.


Tazama, nimewagawieni kwa kura mataifa haya yaliyobaki, yawe urithi kwa makabila yenu, toka mto wa Yordani, pamoja na mataifa yote niliyowakatilia mbali, mpaka bahari kubwa upande wa magharibi.


Nami nimewapa ninyi nchi msiyoitendea kazi, na miji msiyoijenga, nanyi mmekaa humo; mnakula matunda ya mashamba ya mizabibu na mizeituni msiyoipanda.


Kisha nikawaleta na kuwaingiza katika nchi ya Waamori waliokaa ng'ambo ya pili ya Yordani; nao wakapigana nanyi; nikawatia mikononi mwenu, mkaimiliki nchi yao; nami nikawaangamiza mbele yenu.


Nao wakala katika mazao ya nchi siku ya pili ya kuiandama hiyo sikukuu ya Pasaka, mikate isiyotiwa chachu, na bisi, siku iyo hiyo.