Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 105:42 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maana alilikumbuka neno lake takatifu, Na Abrahamu, mtumishi wake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Aliikumbuka ahadi yake takatifu, aliyompa Abrahamu mtumishi wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Aliikumbuka ahadi yake takatifu, aliyompa Abrahamu mtumishi wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Aliikumbuka ahadi yake takatifu, aliyompa Abrahamu mtumishi wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa maana alikumbuka ahadi yake takatifu, aliyompa Ibrahimu mtumishi wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maana alikumbuka ahadi yake takatifu, aliyompa Ibrahimu mtumishi wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana alilikumbuka neno lake takatifu, Na Abrahamu, mtumishi wake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 105:42
12 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akamtokea Abramu, akasema, Uzao wako nitawapa nchi hii. Naye akamjengea BWANA madhabahu huko alikomtokea.


Enyi wazawa wa Abrahamu, mtumishi wake; Enyi wana wa Yakobo, wateule wake.


Mungu akasikia kuugua kwao, Mungu akakumbuka agano lake alilolifanya na Abrahamu na Isaka na Yakobo.


Mkumbuke Abrahamu, na Isaka, na Israeli, watumishi wako, ambao uliwaapia kwa nafsi yako, na kuwaambia, Nitazidisha kizazi chenu mfano wa nyota za mbinguni; tena nchi hii yote niliyoinena nitakipa kizazi chenu nao watairithi milele.


Wewe utamtimilizia Yakobo kweli yako, na Abrahamu rehema zako, ulizowaapia baba zetu tangu siku za kale.


Wakumbuke watumishi wako, Abrahamu, na Isaka, na Yakobo; usiangalie ukaidi wa watu hawa, wala uovu wao, wala dhambi yao;


Si kwa haki yako, wala kwa unyofu wa moyo wako, hivi uingiavyo kuimiliki nchi yao; lakini ni kwa uovu wa mataifa haya BWANA, Mungu wako, awafukuza nje mbele yako; tena apate kuliweka imara hilo neno BWANA alilowaapia baba zako Abrahamu, na Isaka, na Yakobo.