Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 105:39 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Alitandaza wingu liwe kifuniko, Na moto ili uwaangazie usiku.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mungu alitandaza wingu juu ya watu wake, na moto ili kuwaangazia usiku.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mungu alitandaza wingu juu ya watu wake, na moto ili kuwaangazia usiku.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mungu alitandaza wingu juu ya watu wake, na moto ili kuwaangazia usiku.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Alitandaza wingu kama kifuniko, na moto kuwamulikia usiku.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Alitandaza wingu kama kifuniko, na moto kuwamulikia usiku.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Alitandaza wingu liwe kifuniko, Na moto ili uwaangazie usiku.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 105:39
9 Marejeleo ya Msalaba  

Zaidi ya hayo ukawaongoza kwa nguzo ya wingu mchana; na kwa nguzo ya moto usiku; ili kuwapa mwanga katika njia iliyowapasa kuiendea.


hata hivyo wewe kwa wingi wa rehema zako hukuwaacha jangwani; nguzo ya wingu haikuondoka kwao wakati wa mchana, ili kuwaongoza njiani; wala nguzo ya moto haikuondoka wakati wa usiku, ili kuwapa mwanga na kuwaonesha njia watakayoiendea.


Akawaongoza kwa wingu mchana, Na usiku kucha kwa nuru ya moto.


Ikawa katika zamu ya alfajiri, BWANA akalichungulia jeshi la Wamisri katika ile nguzo ya moto na ya wingu, akalifadhaisha jeshi la Wamisri.


Tena juu ya makao yote ya mlima Sayuni, na juu ya makusanyiko yake, BWANA ataumba wingu na moshi wakati wa mchana, na mwangaza wa miali ya moto wakati wa usiku; kwa maana juu ya utukufu wote itatandazwa sitara.


na mambo aliyowafanyia ninyi nyikani, hadi mkafika mahali hapa;