Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 105:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Israeli naye akaingia Misri, Yakobo akawa mgeni katika nchi ya Hamu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ndipo Israeli akaingia nchini Misri; Yakobo akawa mgeni katika nchi ya Hamu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ndipo Israeli akaingia nchini Misri; Yakobo akawa mgeni katika nchi ya Hamu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ndipo Israeli akaingia nchini Misri; Yakobo akawa mgeni katika nchi ya Hamu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha Israeli akaingia Misri, Yakobo akaishi kama mgeni katika nchi ya Hamu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha Israeli akaingia Misri, Yakobo akaishi kama mgeni katika nchi ya Hamu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Israeli naye akaingia Misri, Yakobo akawa mgeni katika nchi ya Hamu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 105:23
11 Marejeleo ya Msalaba  

Na wana wa Hamu ni Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani.


Yakobo akaishi katika nchi ya Misri miaka kumi na saba, basi umri wake Yakobo ulikuwa miaka mia moja na arubaini na saba.


Akatenda mambo ya ishara zake kati yao, Na miujiza katika nchi ya Hamu.


Matendo ya ajabu katika nchi ya Hamu, Mambo ya kutisha penye Bahari ya Shamu.


Akampiga kila mzaliwa wa kwanza wa Misri, Malimbuko ya nguvu katika hema za Hamu.


Mungu wa watu hawa Israeli aliwachagua baba zetu, akawatukuza watu hao, walipokuwa wakikaa kama wageni katika nchi ya Misri, na kwa mkono ulioinuliwa akawatoa, akawaongoza.


Kisha nikampa huyo Isaka, Yakobo na Esau; nami nikampa Esau mlima Seiri aumiliki; Yakobo na watoto wake wakashuka Misri.