Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 105:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Awaongoze maofisa wake kama apendavyo, Na kuwafundisha wazee wake hekima.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

awaongoze maofisa wake apendavyo, na kuwafundisha wazee wake hekima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

awaongoze maofisa wake apendavyo, na kuwafundisha wazee wake hekima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

awaongoze maofisa wake apendavyo, na kuwafundisha wazee wake hekima.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kuwaelekeza wakuu wa mfalme apendavyo, na kuwafundisha wazee wake hekima.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kuwaelekeza wakuu wa mfalme apendavyo na kuwafundisha wazee wake hekima.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Awaongoze maofisa wake kama apendavyo, Na kuwafundisha wazee wake hekima.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 105:22
4 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, Farao na ajitafutie mtu wa akili na hekima amweke juu ya nchi ya Misri.


Farao akawaambia watumishi wake, Tupate wapi mtu kama huyu, mwenye Roho ya Mungu ndani yake?


Farao akamwambia Yusufu, Mimi ni Farao, na bila amri yako, mtu asiinue mkono wala mguu katika nchi yote ya Misri.


Wakuu wa Soani wamekuwa wapumbavu kabisa; washauri wenye hekima wa Farao, ushauri wao umepumbazika; mwawezaje kumwambia Farao, Mimi ni mwana wa wenye hekima, ni mwana wa wafalme wa zamani?