Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 105:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mwimbieni, mwimbieni kwa zaburi, Yasimulieni maajabu yake yote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mshangilieni, mwimbieni Mungu sifa; simulieni matendo yake ya ajabu!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mshangilieni, mwimbieni Mungu sifa; simulieni matendo yake ya ajabu!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mshangilieni, mwimbieni Mungu sifa; simulieni matendo yake ya ajabu!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwimbieni yeye, mwimbieni yeye sifa, waambieni matendo yake yote ya ajabu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwimbieni yeye, mwimbieni yeye sifa, waambieni matendo yake yote ya ajabu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwimbieni, mwimbieni kwa zaburi, Yasimulieni maajabu yake yote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 105:2
17 Marejeleo ya Msalaba  

Unifahamishe njia ya maagizo yako, Nami nitayatafakari maajabu yako.


Pia nitaitafakari kazi yako yote; Nitaziwaza habari za matendo yako.


Ee Mungu, njia yako iko katika utakatifu; Ni Mungu yupi aliye mkuu kama Mungu wetu?


Mwimbieni BWANA wimbo mpya, Kwa maana ametenda mambo ya ajabu. Mkono wa kulia, Na mkono wake mtakatifu umemtendea wokovu.


Mwimbieni BWANA sifa kwa kinubi, Kwa kinubi na sauti tamu.


Kisha itakuwa hapo mwanao atakapokuuliza kesho, akisema, Ni nini hivi? Utamwambia, BWANA alimtoa Misri, kutoka ile nyumba ya utumwa, kwa uwezo wa mkono wake;


mkisemezana kwa zaburi na tenzi na nyimbo za rohoni, huku mkiimba na kumshangilia Bwana mioyoni mwenu;


Sikieni, enyi wafalme; tegeni masikio, enyi wakuu; Mimi, naam mimi, nitamwimbia BWANA; Nitamhimidi BWANA, Mungu wa Israeli.