Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 105:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Walimwumiza miguu yake kwa pingu, Akatiwa katika minyororo ya chuma.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walimfunga miguu kwa minyororo, na shingoni kwa nira ya chuma,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walimfunga miguu kwa minyororo, na shingoni kwa nira ya chuma,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walimfunga miguu kwa minyororo, na shingoni kwa nira ya chuma,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walichubua miguu yake kwa minyororo, shingo yake ilifungwa kwa chuma,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walichubua miguu yake kwa minyororo, shingo yake ilifungwa kwa chuma,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Walimwumiza miguu yake kwa pingu, Akatiwa katika minyororo ya chuma.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 105:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

Bwana wake akamtwaa Yusufu, akamtia gerezani, mahali wafungwa wa mfalme walimokuwa wamefungiwa, naye akawa humo gerezani.


Kwa sababu hakika niliibwa kutoka nchi ya Waebrania, wala hapa sikutenda jambo lolote hata wanitie gerezani.


Waliokaa katika giza na uvuli wa mauti, Wamefungwa katika taabu na minyororo,


Naye akiisha kupata amri hii akawatupa katika chumba cha ndani, akawafunga miguu kwa mkatale.