Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 105:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Alimpeleka mtu mbele yao, Yusufu aliuzwa utumwani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini aliwatangulizia mtu mmoja, Yosefu aliyekuwa ameuzwa utumwani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini aliwatangulizia mtu mmoja, Yosefu aliyekuwa ameuzwa utumwani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini aliwatangulizia mtu mmoja, Yosefu aliyekuwa ameuzwa utumwani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

naye akatuma mtu mbele yao, Yusufu, aliyeuzwa kama mtumwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

naye akatuma mtu mbele yao, Yusufu, aliyeuzwa kama mtumwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Alimpeleka mtu mbele yao, Yusufu aliuzwa utumwani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 105:17
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nao Wamidiani wakamuuza huko Misri, kwa Potifa, mmoja wa maofisa wa Farao, mkuu wa askari walinzi.


Basi Yusufu akaletwa mpaka Misri, naye Potifa, ofisa wa Farao, mkuu wa askari walinzi, mtu wa Misri, akamnunua mkononi mwa hao Waishmaeli waliomleta huko.


Nanyi kweli mlinikusudia mabaya, bali Mungu aliyakusudia kuwa mema, ili itokee kuokoa taifa kubwa, kama ilivyo leo.


Wale wazee wetu wakimwonea wivu Yusufu, wakamwuza aende Misri. Mungu akawa pamoja naye,