Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 105:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hakumwacha mtu awaonee, Hata wafalme aliwakemea kwa ajili yao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Mungu hakuruhusu mtu awadhulumu; kwa ajili yao aliwaonya wafalme:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Mungu hakuruhusu mtu awadhulumu; kwa ajili yao aliwaonya wafalme:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Mungu hakuruhusu mtu awadhulumu; kwa ajili yao aliwaonya wafalme:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hakuruhusu mtu yeyote awadhulumu; kwa ajili yao aliwakemea wafalme, akisema:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hakuruhusu mtu yeyote awaonee; kwa ajili yao aliwakemea wafalme, akisema:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hakumwacha mtu awaonee, Hata wafalme aliwakemea kwa ajili yao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 105:14
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wakashika njia, hofu ya Mungu ikaishika miji iliyowazunguka, wala hawakuwafuata wana wa Yakobo.


Israeli walikuwa utakatifu kwa BWANA; malimbuko ya uzao wake; Wote watakaomla watakuwa na hatia; uovu utawajia; asema BWANA.


Mtwae, umtunze sana, wala usimtende neno baya lolote; lakini umtendee kama atakavyokuambia.