Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 105:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wakatangatanga toka taifa hadi taifa, Toka ufalme mmoja hadi kwa watu wengine.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walitangatanga kutoka taifa hadi taifa; kutoka nchi moja hadi nchi nyingine.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walitangatanga kutoka taifa hadi taifa; kutoka nchi moja hadi nchi nyingine.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walitangatanga kutoka taifa hadi taifa; kutoka nchi moja hadi nchi nyingine.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

walitangatanga kutoka taifa moja hadi jingine, kutoka ufalme mmoja hadi mwingine.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

walitangatanga kutoka taifa moja hadi jingine, kutoka ufalme mmoja hadi mwingine.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakatangatanga toka taifa hadi taifa, Toka ufalme mmoja hadi kwa watu wengine.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 105:13
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi kulikuwa na njaa katika nchi ile; Abramu akashuka Misri, akae huko kwa muda maana njaa ilikuwa kali katika nchi.


Naye Abramu akasafiri, akazidi kwenda pande za kusini.


Umehesabu kutangatanga kwangu; Uyatie machozi yangu katika chupa yako; (Je! Hayamo katika kitabu chako?)


Basi wakaweka wasimamizi juu yao wawatese kwa mizigo yao. Nao wakamjengea Farao miji ya kuwekea akiba, Pithomu na Ramesesi.


Kwa maana BWANA wa majeshi asema hivi, Ili nitafute utukufu amenituma kwa mataifa wale waliowateka ninyi; maana yeye awagusaye ninyi aigusa mboni ya jicho lake.