Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 104:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kutafakari kwangu na kuwe kutamu kwake; Maana furaha yangu hutoka kwa BWANA.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Upendezwe, ee Mwenyezi-Mungu, na mawazo yangu haya; maana furaha yangu naipata kwako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Upendezwe, ee Mwenyezi-Mungu, na mawazo yangu haya; maana furaha yangu naipata kwako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Upendezwe, ee Mwenyezi-Mungu, na mawazo yangu haya; maana furaha yangu naipata kwako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kutafakari kwangu na kumpendeze yeye, ninapofurahi katika Mwenyezi Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kutafakari kwangu na kumpendeze yeye, ninapofurahi katika bwana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kutafakari kwangu na kuwe kutamu kwake; Maana furaha yangu hutoka kwa BWANA.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 104:34
18 Marejeleo ya Msalaba  

Isaka akatoka ili kutafakari shambani wakati wa jioni; akainua macho yake, akaona, kuna ngamia wanakuja.


Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo, Na sheria yake huitafakari mchana na usiku.


Jisifuni kwa jina lake takatifu, Na ufurahi moyo wao wamtafutao BWANA.


Shuhuda zako nimezifanya urithi wa milele, Maana ndizo changamko la moyo wangu.


Nafsi yangu imezishika shuhuda zako, Nami nazipenda mno.


Mfurahieni BWANA; Shangilieni, enyi wenye haki Pigeni vigelegele vya furaha; Ninyi nyote mlio wanyofu wa moyo.


Na nafsi yangu itamfurahia BWANA, Na kuushangilia wokovu wake.


Pia nitaitafakari kazi yako yote; Nitaziwaza habari za matendo yako.


Nitafurahi na kukushangilia; Nitaliimbia sifa jina lako, Wewe Uliye juu.


Basi utaijua hekima kuwa tamu kwa nafsi yako; Ikiwa umekwisha kuiona; Ndipo itakapofuata thawabu; Wala tumaini lako halitabatilika.


Na roho yangu imemfurahia Mungu, Mwokozi wangu;


Furahini katika Bwana sikuzote; tena nasema, Furahini.


Nikakitwaa kile kitabu kidogo kutoka mkononi mwa malaika yule, nikakila; nacho kikawa kitamu kama asali kinywani mwangu, na nilipokwisha kukila tumbo langu likatiwa uchungu.