Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 102:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Watu walitangaze jina la BWANA katika Sayuni, Na sifa zake katika Yerusalemu,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hivyo watu watatangaza jina la Mwenyezi-Mungu huko Siyoni; sifa zake zitatangazwa huko Yerusalemu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hivyo watu watatangaza jina la Mwenyezi-Mungu huko Siyoni; sifa zake zitatangazwa huko Yerusalemu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hivyo watu watatangaza jina la Mwenyezi-Mungu huko Siyoni; sifa zake zitatangazwa huko Yerusalemu,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo jina la Mwenyezi Mungu latangazwa huko Sayuni na sifa zake katika Yerusalemu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo jina la bwana latangazwa huko Sayuni na sifa zake katika Yerusalemu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Watu walitangaze jina la BWANA katika Sayuni, Na sifa zake katika Yerusalemu,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 102:21
11 Marejeleo ya Msalaba  

Nitalihubiri jina lako kwa ndugu zangu, Katikati ya kusanyiko nitakusifu.


Kuugua kwake aliyefungwa Na kuingie mbele zako. Kwa kadiri ya uweza wa mkono wako Uwahifadhi waliohukumiwa kufa.


Na sisi tulio watu wako, Na kondoo za malisho yako, Tutakushukuru milele; Tutazisimulia sifa zako kizazi hadi kizazi.


Nenda, ukawakusanye wazee wa Israeli pamoja, ukawaambie, BWANA, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, amenitokea, akaniambia, Hakika nimewajilieni, tena nimeyaona mnayotendewa huko Misri;


Nami nimesema, Nitawapandisha kutoka katika mateso ya Misri na kuwaingiza katika nchi ya Mkanaani, na Mhiti, na Mwamori, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi, nchi ijaayo maziwa na asali.


Nao waliokombolewa na BWANA watarejea, Watafika Sayuni, wakiimba; Furaha ya milele itakuwa juu ya vichwa vyao; Watapata shangwe na furaha; Huzuni na kuugua zitakimbia.


naam, atukuzwe katika kanisa na katika Kristo Yesu hata vizazi vyote vya milele na milele. Amina.


Bali ninyi ni uzao mteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu;