Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 101:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hatakaa ndani ya nyumba yangu Mtu atendaye hila. Asemaye uongo hatathibitika Mbele ya macho yangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwongo yeyote hatakaa nyumbani mwangu; hakuna msema uongo atakayekaa kwangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwongo yeyote hatakaa nyumbani mwangu; hakuna msema uongo atakayekaa kwangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwongo yeyote hatakaa nyumbani mwangu; hakuna msema uongo atakayekaa kwangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mdanganyifu hatakaa nyumbani mwangu, yeye asemaye kwa uongo hatasimama mbele yangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mdanganyifu hatakaa nyumbani mwangu, yeye asemaye kwa uongo hatasimama mbele yangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hatakaa ndani ya nyumba yangu Mtu atendaye hila. Asemaye uongo hatathibitika Mbele ya macho yangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 101:7
10 Marejeleo ya Msalaba  

Bali mimi, kwa wingi wa fadhili zako, Nitaingia nyumbani mwako; Na kusujudu kwa kicho, Nikilielekea hekalu lako takatifu.


Ulimi wako watunga madhara, Kama wembe mkali, Ewe mwenye hila.


Mwenye kutawala akisikiliza uongo; Basi watumishi wake wote watakuwa waovu.


Na mkono wangu utakuwa juu ya manabii wanaoona ubatili, na kutabiri uongo; hawatakuwa katika mashauri ya watu wangu, wala hawataandikwa katika maandiko ya nyumba ya Israeli, wala hawataingia katika nchi ya Israeli; nanyi mtajua ya kuwa mimi ndimi Bwana MUNGU.


Msiibe, wala msidanganye, wala msiambiane uongo.


ashike mahali katika huduma hii na utume huu, alioukosa Yuda, aende zake mahali pake mwenyewe.