Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 100:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mshangilieni BWANA, enyi nchi zote;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mshangilieni Mwenyezi-Mungu, enyi nchi zote!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mshangilieni Mwenyezi-Mungu, enyi nchi zote!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mshangilieni Mwenyezi-Mungu, enyi nchi zote!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mpigieni Mwenyezi Mungu kelele za shangwe, dunia yote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mpigieni bwana kelele za shangwe, dunia yote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mshangilieni BWANA, enyi nchi zote;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 100:1
18 Marejeleo ya Msalaba  

Ee Mungu wangu, Mfalme, nitakutukuza, Nitalihimidi jina lako milele na milele.


Mfurahieni BWANA; Shangilieni, enyi wenye haki Pigeni vigelegele vya furaha; Ninyi nyote mlio wanyofu wa moyo.


Enyi watu wote, pigeni makofi, Mpigieni Mungu kelele kwa Sauti ya shangwe.


Mungu amepaa kwa kelele za shangwe, BWANA kwa sauti ya baragumu.


Mpigie Mungu kelele za shangwe, nchi yote,


Nchi yote itakusujudia na kukuimbia, Naam, italiimbia jina lako.


Mataifa na washangilie, Naam, waimbe kwa furaha, Maana kwa haki utawahukumu watu, Na kuwaongoza mataifa walioko duniani.


Enyi falme za dunia, mwimbieni Mungu, Msifuni Bwana kwa nyimbo.


Mshangilieni BWANA, nchi yote, Inueni sauti, imbeni kwa furaha, imbeni sifa.


Imba, Ee binti Sayuni; piga kelele, Ee Israeli; Furahi na kushangilia kwa moyo wako wote, Ee binti Yerusalemu.


Naye BWANA atakuwa Mfalme wa nchi yote; siku hiyo BWANA atakuwa mmoja, na jina lake moja.


Na alipokuwa amekaribia mteremko wa mlima wa Mizeituni, kundi zima la wanafunzi wake walianza kufurahi na kumsifu Mungu kwa sauti kuu, kwa ajili ya matendo yote ya uwezo waliyoyaona,


Na tena anena, Furahini, Mataifa, pamoja na watu wake.


Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake; Kwa maana atatwaa kisasi kwa damu ya watumwa wake, Atawatoza kisasi adui zake, Tena atafanya kafara kwa nchi yake, na watu wake.