Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 10:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa kiburi chake asiye haki mnyonge anafuatiwa kwa ukali; Na wanaswe kwa hila zizo hizo walizoziwaza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa kiburi waovu wanawatesa maskini; njama zao ziwanase wao wenyewe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa kiburi waovu wanawatesa maskini; njama zao ziwanase wao wenyewe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa kiburi waovu wanawatesa maskini; njama zao ziwanase wao wenyewe.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Katika kiburi chake, mwovu humtesa maskini, waovu na wanaswe katika hila wanazozitunga.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Katika kiburi chake, mwovu humtesa maskini, waovu na wanaswe katika hila wanazozitunga.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa kiburi chake asiye haki mnyonge anafuatiwa kwa ukali; Na wanaswe kwa hila zizo hizo walizoziwaza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 10:2
18 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa hakukumbuka kutenda fadhili, Bali alimfukuza mnyonge na mhitaji, Hata akamwua mtu aliyevunjika moyo,


Uwe mdhamini wa mtumishi wako, apate mema, Wenye kiburi wasinionee.


Ningependa njia zangu ziwe thabiti, Nizitii amri zako.


Wenye kiburi wamenizulia uongo, Lakini kwa moyo wangu wote nitayashika mausia yako.


Wenye kiburi wamenichimbia mashimo, Ambao hawaifuati sheria yako.


Wenye kiburi wamenifichia mtego na kamba; Wametandika wavu kando ya njia; Wameniwekea matanzi.


Midomo ya uongo iwe na ububu, Imneneayo mwenye haki maneno ya kiburi, Kwa majivuno na dharau.


Mguu wa kiburi usinikaribie, Wala mkono wa wasio haki usinifukuze.


Kwa dhambi ya kinywa chao, Na kwa neno la midomo yao, Wanaswe kwa kiburi chao, Kwa ajili ya kulaani na uongo wasemao.


Madhara yake yatamrejea kichwani pake, Na dhuluma yake itamshukia utosini.


Sasa najua ya kuwa BWANA ni mkuu kuliko miungu yote; naam, katika jambo hilo walilowatenda kwa ujeuri.


Nawe, je! Hata sasa wajitukuza juu ya watu wangu, usiwape ruhusa waende zao?


Maovu yake yeye yatampata mdhalimu, Naye atashikwa kwa kamba za dhambi zake.


Nawe ulisema moyoni mwako, Nitapanda mpaka mbinguni, Nitakiinua kiti changu juu kuliko nyota za Mungu; Nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano, Katika pande za mwisho za kaskazini.


Wao wakuonao watakukazia macho, Watakuangalia sana, wakisema, Je! Huyu ndiye aliyeitetemesha dunia, Huyu ndiye aliyetikisa falme;


ndipo Azaria, mwana wa Hoshaya, na Yohana mwana wa Karea, na watu wote wenye kiburi wakanena, wakimwambia Yeremia, Unasema uongo; BWANA, Mungu wetu, hakukutuma useme, Msiende Misri kukaa huko;