Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 10:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ili kumhukumu yatima na aliyeonewa, Binadamu aliye udongo asizidi kudhulumu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Utawatendea haki yatima na wanaodhulumiwa, binadamu aliye udongo asiweze tena kuleta hofu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Utawatendea haki yatima na wanaodhulumiwa, binadamu aliye udongo asiweze tena kuleta hofu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Utawatendea haki yatima na wanaodhulumiwa, binadamu aliye udongo asiweze tena kuleta hofu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ukiwatetea yatima na waliodhulumiwa, ili mwanadamu ambaye ni udongo asiogopeshe tena.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ukiwatetea yatima na walioonewa, ili mwanadamu, ambaye ni udongo, asiogopeshe tena.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ili kumhukumu yatima na aliyeonewa, Binadamu aliye udongo asizidi kudhulumu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 10:18
13 Marejeleo ya Msalaba  

Umeona, maana unaangalia matatizo na dhiki, Uyatwae mkononi mwako. Mtu duni hukuachia nafsi yake, Maana umekuwa msaidizi wa yatima.


Ee BWANA, kwa mkono wako uniokoe na watu, Watu wa dunia hii ambao fungu lao liko katika maisha haya. Matumbo yao wayajaza kwa hazina yako, Hushiba wana, huwaachia watoto wao akiba zao,


Na atawatetea watu walioonewa, Awaokoe wahitaji, na kumwaangamiza mdhalimu.


Aliyeonewa asirejee ametiwa haya, Mnyonge na mhitaji na walisifu jina lako.


Mfanyieni hukumu maskini na yatima; Mtendeeni haki aliyeonewa, na fukara;


BWANA atakuwa ngome kwake aliyeonewa, Naam, ngome kwa nyakati za shida.


bali kwa haki atawahukumu maskini, naye atawaonya wanyenyekevu wa dunia kwa adili; naye ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake, na kwa pumzi ya midomo yake atawaua wabaya.


Abrahamu akasema, Mwanangu, kumbuka ya kwamba wewe uliyapokea mambo yako mema katika maisha yako, na Lazaro vivyo alipata mabaya; na sasa yeye yupo hapa anafarijiwa, na wewe unateseka.


Huwafanyia yatima na mjane hukumu ya haki, naye humpenda mgeni, akimpa chakula na mavazi.