Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 10:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Inuka, Ee Mungu BWANA, uuinue mkono wako, Ee Mungu Usiwasahau wanyonge.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Inuka, ee Mwenyezi-Mungu, uwaadhibu; usiwasahau wanaodhulumiwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Inuka, ee Mwenyezi-Mungu, uwaadhibu; usiwasahau wanaodhulumiwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Inuka, ee Mwenyezi-Mungu, uwaadhibu; usiwasahau wanaodhulumiwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Inuka Mwenyezi Mungu! Inua mkono wako, Ee Mungu. Usiwasahau wanyonge.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Inuka bwana! Inua mkono wako, Ee Mungu. Usiwasahau wanyonge.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Inuka, Ee Mungu BWANA, uuinue mkono wako, Ee Mungu Usiwasahau wanyonge.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 10:12
15 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, utanisahau hadi lini, hata milele? Hadi lini utanificha uso wako?


Inuka, Ee BWANA, umkabili, umwangushe, Kwa upanga wako uniokoe nafsi yangu na mtu mbaya.


Dhihirisha fadhili zako za ajabu Wewe uwaokoaye wanaokukimbilia; Kwa mkono wako wa kulia Uwaokoe kutoka kwa adui zao.


BWANA, uinuke, Mungu wangu, uniokoe, Maana umewapiga taya adui zangu wote; Umewavunja meno wasio haki.


BWANA uondoke kwa hasira yako; Ujiinue Juu ya ujeuri wa watesi wangu; Uamke kwa ajili yangu; Umeamuru hukumu.


Usimpe mnyama mkali uhai wa njiwa wako; Usiwasahau milele watu wako walioonewa.


Mungu amesahau fadhili zake? Amezuia kwa hasira rehema zake?


Maana mlipiza kisasi cha damu awakumbuka, Hakukisahau kilio cha wanyonge.


Wewe, BWANA, unifadhili, Tazama mateso niteswayo na wanaonichukia; Wewe uniinuaye katika malango ya mauti,


Inuka, ee BWANA, mwanadamu asipate nguvu, Mataifa wahukumiwe mbele zako.


Mwenye kuihukumu nchi, ujitukuze, Uwape wenye kiburi stahili zao.


BWANA, mkono wako umeinuliwa, lakini hawaoni; lakini watauona wivu wako kwa ajili ya watu wako, nao watatahayari; naam, moto utawala adui zako.


Basi, sasa nitasimama; asema BWANA; sasa nitajiinua, sasa nitajitukuza.


Mkono wako na uinuliwe juu ya adui zako, na adui zako wote wakauliwe mbali.


Samsoni akamwita BWANA, akasema, Ee Bwana MUNGU, nikumbuke nakuomba, ukanitie nguvu, nakuomba, mara hii tu, Ee Mungu, ili nipate kujilipiza kisasi juu ya Wafilisti kwa ajili ya macho yangu mawili.