Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 10:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hujikunyata na kuinama; Watu duni huanguka kwa nguvu zake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mnyonge huvamiwa na kuangushwa chini; huangushwa kwa ukatili wa mtu mwovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mnyonge huvamiwa na kuangushwa chini; huangushwa kwa ukatili wa mtu mwovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mnyonge huvamiwa na kuangushwa chini; huangushwa kwa ukatili wa mtu mwovu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mateka wake hupondwa, huzimia; wanaanguka katika nguvu zake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mateka wake hupondwa, huzimia; wanaanguka katika nguvu zake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hujikunyata na kuinama; Watu duni huanguka kwa nguvu zake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 10:10
4 Marejeleo ya Msalaba  

Tena ikawa hapo alipokaribia mtu yeyote kumsujudia, hunyosha mkono wake, na kumshika, na kumbusu.


Kisha itakuwa, ya kwamba kila mtu atakayesalia katika nyumba yako atakwenda kumsujudia, apate kipande kidogo cha fedha, na mkate mmoja; na kumwambia, Tafadhali nitie katika kazi mojawapo ya ukuhani, nipate kula kipande kidogo cha mkate.