Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 24:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi Yoshua akawaruhusu watu, wakaenda zao, kila mtu kwenye urithi wake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Halafu Yoshua akawaruhusu watu waondoke; nao wakaenda kila mmoja kwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Halafu Yoshua akawaruhusu watu waondoke; nao wakaenda kila mmoja kwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Halafu Yoshua akawaruhusu watu waondoke; nao wakaenda kila mmoja kwake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi Yoshua akawatuma watu kila mmoja aende katika urithi wake mwenyewe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi Yoshua akawatuma watu kila mmoja aende katika urithi wake mwenyewe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Yoshua akawaruhusu watu, wakaenda zao, kila mtu kwenye urithi wake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 24:28
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na Israeli waliosalia, katika hao makuhani, na Walawi, walikuwamo kote mijini mwa Yuda, kila mtu katika milki yake.


Hivyo hapana urithi wowote wa wana wa Israeli utakaotoka kabila hili kwenda kabila hili; kwa kuwa wana wa Israeli watashikamana kila mtu na urithi wa kabila la baba zake.


Hivyo hapatakuwa na urithi wowote utakaotoka kabila hili kwenda kabila hili; kwa kuwa makabila ya wana wa Israeli yatashikamana kila mmoja na urithi wake mwenyewe.


Basi Yoshua akawabariki, na kuwapa ruhusa waende zao; nao wakaenda mahemani kwao.


Yoshua akawaambia watu wote, Tazama, jiwe hili litakuwa shahidi juu yetu; kwa maana limesikia maneno yote ya BWANA aliyotuambia, basi litakuwa shahidi juu yenu, msije mkamkana Mungu wenu.


Ikawa, baada ya hayo, Yoshua, mwana wa Nuni, mtumishi wa BWANA, akafa, mwenye umri wa miaka mia moja na kumi.


Basi hapo Yoshua alipowapa watu ruhusa waende zao, wana wa Israeli wakaenda kila mtu kuuendea urithi wake, ili kuimiliki hiyo nchi.