Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 19:43 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Eloni, Timna, Ekroni;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Eloni, Timna, Ekroni

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Eloni, Timna, Ekroni

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Eloni, Timna, Ekroni

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Eloni, Timna, Ekroni,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Eloni, Timna, Ekroni,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Eloni, Timna, Ekroni;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 19:43
11 Marejeleo ya Msalaba  

Siku nyingi zikapita, akafa binti Shua, mkewe Yuda. Yuda akafarijika, akaenda kwa watu wake wawakatao kondoo manyoya huko Timna, yeye na mwenzake Hira, Mwadulami.


na Eliaba, Mshaalboni, na wana wa Yasheni; na Yonathani,


Mwana wa Dekari, kutoka Makasi, na Shaalbimu na Beth-shemeshi na Elon-beth-hanani.


Nami nitamkatilia mbali mwenyeji katika Ashdodi; na yeye aishikaye fimbo ya enzi katika Ashkeloni; nami nitaugeuza mkono wangu uwe juu ya Ekroni; na mabaki ya Wafilisti wataangamia, asema Bwana MUNGU.


Ekroni, pamoja na miji yake na vijiji vyake;


Kaini, Gibea na Timna; miji kumi, pamoja na vijiji vyake.


Shaalabini, Aiyaloni, Ithla;


Elteka, Gibethoni, Baalathi;


lakini hao Waamori waliendelea kukaa katika kilima cha Heresi, na katika Aiyaloni, na katika Shaalbimu; pamoja na haya mkono wa hiyo nyumba ya Yusufu ulishinda, hata wakawalazimisha shokoa.


Basi, wakalipeleka sanduku la Mungu mpaka Ekroni. Ikawa, sanduku la Mungu lilipofika Ekroni, watu wa Ekroni walipiga kelele, wakasema, Wamelileta hilo sanduku la Mungu wa Israeli kwetu, ili kutuua sisi na watu wetu.