Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 19:42 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Shaalabini, Aiyaloni, Ithla;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Shaalabini, Aiyaloni, Yithla,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Shaalabini, Aiyaloni, Yithla,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Shaalabini, Aiyaloni, Yithla,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Shaalabini, Aiyaloni, Ithla,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Shaalabini, Aiyaloni, Ithla,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Shaalabini, Aiyaloni, Ithla;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 19:42
9 Marejeleo ya Msalaba  

na Eliaba, Mshaalboni, na wana wa Yasheni; na Yonathani,


Mwana wa Dekari, kutoka Makasi, na Shaalbimu na Beth-shemeshi na Elon-beth-hanani.


Ndipo Yoshua akanena na BWANA katika siku hiyo ambayo BWANA aliwatoa Waamori mbele ya wana wa Israeli; akasema mbele ya macho ya Israeli, Wewe Jua, simama kimya juu ya Gibeoni; Na wewe Mwezi, simama katika bonde la Aiyaloni.


Na mpaka wa urithi wao ulikuwa ni Sora, Eshtaoli, Irishemeshi;


Eloni, Timna, Ekroni;


na Aiyaloni pamoja na mbuga zake za malisho, na Gath-rimoni pamoja na mbuga zake za malisho; miji minne.


lakini hao Waamori waliendelea kukaa katika kilima cha Heresi, na katika Aiyaloni, na katika Shaalbimu; pamoja na haya mkono wa hiyo nyumba ya Yusufu ulishinda, hata wakawalazimisha shokoa.


Nao wakawapiga watu miongoni mwa Wafilisti siku ile kutoka Mikmashi mpaka Ayaloni; na hao watu walikuwa wamepungukiwa sana na nguvu.


Naye akapita katika nchi ya milima milima ya Efraimu, akapita katika nchi ya Shalisha, lakini hawakuwaona; kisha wakapita katika nchi ya Shaalimu, wala huko hawakuwako; wakapita katika nchi ya Wabenyamini, lakini hawakuwapata.