Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 18:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

na Bethiaraba, na Semaraimu, na Betheli;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Beth-araba, Zemaraimu, Betheli,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Beth-araba, Zemaraimu, Betheli,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Beth-araba, Zemaraimu, Betheli,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Beth-Araba, Semaraimu, Betheli,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Beth-Araba, Semaraimu, Betheli,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na Bethiaraba, na Semaraimu, na Betheli;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 18:22
10 Marejeleo ya Msalaba  

na Mwarvadi, na Msemari, na Mhamathi. Baadaye jamaa za Wakanaani walitawanyikana.


na Abieli, Mwarbathi, na Azmawethi, Mbarhumi;


Basi Abiya akasimama juu ya kilima cha Semaraimu, kilichoko milimani mwa Efraimu, akasema, Nisikieni, enyi Yeroboamu na Israeli wote;


Wana wa Benyamini nao walikuwa wakikaa Geba, na Mikmashi, na Aiya, na Betheli na vijiji vyake;


na huo mpaka ukaendelea hadi Beth-hogla, kisha ukaendelea upande wa kaskazini wa Beth-araba; kisha mpaka ukaendelea hadi jiwe la Bohani mwana wa Reubeni;


Kisha mpaka ukaendelea kutoka hapo na kufikia mji wa Luzu, ubavuni mwa Luzu (ndio Betheli), kwa upande wa kusini; kisha mpaka ukateremkia Ataroth-adari, karibu na mlima ulio upande wa kusini wa Beth-horoni wa chini.


kisha ukaendelea mbele ubavuni kuikabili Araba, upande wa kuelekea kaskazini, nao ukateremka hadi hiyo Araba;


Basi miji ya kabila la wana wa Benyamini kwa kufuata jamaa zao ilikuwa ni Yeriko, na Beth-hogla, na Emek-kesisi,


na Avimu, na Para, na Ofra;