Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 15:61 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Huko nyikani, Beth-araba, na Midini, na Sekaka;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Miji ya nyikani ilikuwa Beth-araba, Midini, Sekaka,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Miji ya nyikani ilikuwa Beth-araba, Midini, Sekaka,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Miji ya nyikani ilikuwa Beth-araba, Midini, Sekaka,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Huko jangwani: Beth-Araba, Midini, Sekaka,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Huko jangwani: Beth-Araba, Midini, Sekaka,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Huko nyikani, Beth-araba, na Midini, na Sekaka;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 15:61
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Benaya, mwana wa Yehoyada, akapanda, akampiga, akamwua; naye akazikwa katika nyumba yake mwenyewe iliyoko nyikani.


Siku zile aliondokea Yohana Mbatizaji akihubiri katika nyika ya Yudea, na kusema,


na huo mpaka ukaendelea hadi Beth-hogla, kisha ukaendelea upande wa kaskazini wa Beth-araba; kisha mpaka ukaendelea hadi jiwe la Bohani mwana wa Reubeni;


Kiriath-baali (ndio Kiriath-yearimu) na Raba; miji miwili, pamoja vijiji vyake.


na Nibshani, na huo Mji wa Chumvi, na Engedi; miji sita, pamoja na vijiji vyake.


kisha ukaendelea mbele ubavuni kuikabili Araba, upande wa kuelekea kaskazini, nao ukateremka hadi hiyo Araba;


Kisha Yoshua na watu wa Israeli wote walifanya kana kwamba wameshindwa mbele yao, wakakimbia kwa njia ya nyika.