Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 15:56 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 15:56
9 Marejeleo ya Msalaba  

Basi hawa ndio wana wa Daudi, aliozaliwa huko Hebroni; Amnoni, mzaliwa wa kwanza, mwana wa Ahinoamu, Myezreeli; wa pili, Danieli, wa Abigaili, Mkarmeli;


Na mkewe Myahudi akawazaa Yeredi, babaye Gedori, na Heberi, babaye Soko, na Yekuthieli, babaye Zanoa. Na hawa ndio wana wa Bithia, binti Farao, ambaye Meredi alimwoa.


Akarudi Yezreeli ili aponye majeraha waliyomjeruhi huko Rama, alipopigana na Hazaeli mfalme wa Shamu. Naye Ahazia mwana wa Yehoramu mfalme wa Yuda, akashuka amtazame Yoramu mwana wa Ahabu, katika Yezreeli, kwa sababu alikuwa mgonjwa.


Lango la bondeni wakalijenga Hanuni, nao wakaao Zanoa; wakalijenga, wakaisimamisha milango yake, na vyuma vyake, na makomeo yake, na huo ukuta wa dhiraa elfu moja mpaka lango la jaa.


Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta;


Kaini, Gibea na Timna; miji kumi, pamoja na vijiji vyake.


Wana wa Yusufu wakasema, Hiyo nchi ya vilima haitutoshi sisi; lakini Wakanaani wote wakaao katika nchi ya bondeni wana magari ya chuma, hao walio katika Beth-sheani na miji yake, na hao walio katika bonde la Yezreeli pia.


Na mpaka wao ulifikia Yezreeli, Kesulothi, Shunemu;


Tena Daudi akamwoa Ahinoamu wa Yezreeli; wote wawili wakawa wake zake.