Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 13:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Huo ndio urithi wa wana wa Gadi sawasawa na jamaa zao, miji yake na vijiji vyake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Miji na vijiji hivyo ndivyo walivyopewa watu wa kabila la Gadi kulingana na koo zao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Miji na vijiji hivyo ndivyo walivyopewa watu wa kabila la Gadi kulingana na koo zao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Miji na vijiji hivyo ndivyo walivyopewa watu wa kabila la Gadi kulingana na koo zao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Miji hii na vijiji vyake ilikuwa urithi wa kabila la Gadi kufuatana na koo zao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Miji hii na vijiji vyake ilikuwa urithi wa kabila la Gadi ukoo kwa ukoo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Huo ndio urithi wa wana wa Gadi sawasawa na jamaa zao, miji yake na vijiji vyake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 13:28
3 Marejeleo ya Msalaba  

Nao wakakaa huko Gileadi, katika Bashani, na katika miji yake, na katika viunga vyote vya Sharoni, hadi mipakani mwake.


tena katika bonde, Beth-haramu, na Bethnimira, na Sukothi, na Safoni, hiyo iliyosalia ya ufalme wa Sihoni mfalme wa Heshboni, yaani mto wa Yordani na kingo zake, mpaka mwisho wa bahari ya Kinerethi ng'ambo ya pili ya Yordani upande wa mashariki.


Kisha Musa akawapa hao wa nusu ya kabila la Manase urithi wao; ulikuwa ni wa hiyo nusu ya kabila la wana wa Manase sawasawa na jamaa zao.