Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yona 1:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi wakamkamata Yona, wakamtupa baharini, nayo bahari ikaacha kuchafuka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, wakamchukua Yona, wakamtupa baharini, na papo hapo bahari ikatulia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, wakamchukua Yona, wakamtupa baharini, na papo hapo bahari ikatulia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, wakamchukua Yona, wakamtupa baharini, na papo hapo bahari ikatulia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha wakamchukua Yona, wakamtupa baharini, nayo bahari iliyokuwa imechafuka ikatulia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha walimchukua Yona, wakamtupa baharini nayo bahari iliyokuwa imechafuka ikatulia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi wakamkamata Yona, wakamtupa baharini, nayo bahari ikaacha kuchafuka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yona 1:15
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha wakaizika mifupa ya Sauli na ya Yonathani mwanawe katika nchi ya Benyamini, huko Zela, kaburini mwa Kishi babaye; wakafanya yote aliyoyaamuru mfalme. Na baadaye Mungu aliiridhia hiyo nchi.


Huituliza dhoruba, ikawa shwari, Mawimbi yake yakanyamaza.


Watuliza kuvuma kwa bahari, Kuvuma kwa mawimbi yake, Na ghasia za watu;


Wewe ndiwe ukitawalaye kiburi cha bahari. Mawimbi yake yainukapo, wewe unayatuliza.


Ni nani ajuaye kwamba Mungu hatageuka na kughairi, na kuiacha hasira yake kali, ili msiangamizwe?


Akawaambia, Mbona mmekuwa waoga, enyi wa imani haba? Mara akaondoka, akazikemea pepo na bahari; kukawa shwari kuu.


Wakamwendea, wakamwamsha, wakisema, Bwana mkubwa, Bwana mkubwa, tunaangamia. Akaamka, akaukemea upepo na msukosuko wa maji, vikakoma; kukawa shwari.