Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 9:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akasema, Naamini, Bwana. Akamsujudia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, huyo mtu akasema, “Ninaamini Bwana!” Akamsujudia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, huyo mtu akasema, “Ninaamini Bwana!” Akamsujudia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, huyo mtu akasema, “Ninaamini Bwana!” Akamsujudia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yule mtu akasema, “Bwana, naamini.” Naye akamwabudu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yule mtu akasema, “Bwana, naamini.” Naye akamwabudu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akasema, Naamini, Bwana. Akamsujudia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 9:38
10 Marejeleo ya Msalaba  

Shikeni yaliyo bora, asije akafanya hasira Nanyi mkapotea njiani, Kwa kuwa hasira yake huwaka upesi; Heri wote wanaomkimbilia.


Naye mfalme atautamani uzuri wako, Maana ndiye bwana wako, nawe umsujudie.


Nao waliokuwamo ndani ya mashua wakamsujudia, wakisema, Hakika wewe u Mwana wa Mungu.


Nao walipomwona, walimsujudia; lakini baadhi yao walikuwa na mashaka.


Na tazama, Yesu akakutana nao, akisema, Salamu! Wakakaribia wakamshika miguu, wakamsujudia.


Na tazama, akaja mtu mwenye ukoma akamsujudia, akisema, Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa.


Wakamwabudu; kisha wakarudi Yerusalemu wakiwa na furaha kuu.


Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu!


Yesu akasema, Mimi nimekuja ulimwenguni humu kwa hukumu, ili wao wasioona waone, nao wanaoona wawe vipofu.