Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 9:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kama huyo asingalitoka kwa Mungu, asingeweza kutenda neno lolote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kama mtu huyu hakutoka kwa Mungu, hangeweza kufanya chochote!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kama mtu huyu hakutoka kwa Mungu, hangeweza kufanya chochote!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kama mtu huyu hakutoka kwa Mungu, hangeweza kufanya chochote!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama huyu mtu hakutoka kwa Mungu, asingeweza kufanya lolote.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama huyu mtu hakutoka kwa Mungu, asingeweza kufanya lolote.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kama huyo asingalitoka kwa Mungu, asingeweza kutenda neno lolote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 9:33
4 Marejeleo ya Msalaba  

Huyo alimjia usiku, akamwambia, Rabi, tunajua ya kuwa u mwalimu, umetoka kwa Mungu; kwa maana hakuna mtu awezaye kuzifanya ishara hizi uzifanyazo wewe, isipokuwa Mungu yu pamoja naye.


Basi baadhi ya Mafarisayo wakasema, Mtu huyo hakutoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki sabato. Wengine wakasema, Awezaje mtu mwenye dhambi kufanya ishara kama hizo? Kukawa na utengano kati yao.


Tokea hapo haijasikiwa ya kuwa mtu ameyafumbua macho ya mtu, ambaye alizaliwa kipofu.