Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 8:56 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Abrahamu, baba yenu, alishangilia kwa vile atakavyoiona siku yangu; naye akaiona, akafurahi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Abrahamu, baba yenu, alishangilia aione siku yangu; naye aliiona, akafurahi.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Abrahamu, baba yenu, alishangilia aione siku yangu; naye aliiona, akafurahi.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Abrahamu, baba yenu, alishangilia aione siku yangu; naye aliiona, akafurahi.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baba yenu Ibrahimu alishangilia kwamba angeiona siku yangu, naye akaiona na akafurahi.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baba yenu Ibrahimu alishangilia kwamba angaliiona siku yangu, naye akaiona na akafurahi.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Abrahamu, baba yenu, alishangilia kwa vile atakavyoiona siku yangu; naye akaiona, akafurahi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 8:56
11 Marejeleo ya Msalaba  

na katika uzao wako mataifa yote ya dunia watajibarikia; kwa sababu umetii sauti yangu.


Kwa maana, amin, nawaambia, Manabii wengi na wenye haki walitamani kuyaona mnayoyaona ninyi, wasiyaone; na kuyasikia mnayoyasikia ninyi, wasiyasikie.


Kwa kuwa nawaambia ya kwamba manabii wengi na wafalme walitamani kuyaona mnayoyaona ninyi wasiyaone; na kuyasikia mnayoyasikia ninyi wasiyasikie.


Yesu akawajibu, Niliwaambia, lakini ninyi hamsadiki. Kazi hizi ninazozifanya kwa jina la Baba yangu ndizo zinazonishuhudia.


Najua ya kuwa ninyi ni uzao wa Abrahamu lakini mnatafuta kuniua kwa sababu neno langu halimo ndani yenu.


Wakajibu, wakamwambia, Baba yetu ndiye Abrahamu! Yesu akawaambia, Kama mngekuwa watoto wa Abrahamu, mngezitenda kazi zake Abrahamu.


Hawa wote wakafa katika imani, walikuwa hawajazipokea zile ahadi, bali wakaziona tokea mbali na kuzishangilia, na kukiri kwamba walikuwa wageni, na wasafiri juu ya nchi.


Na watu hao wote wakiisha kushuhudiwa kwa sababu ya imani yao, hawakuipokea ahadi;