Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 7:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mimi namjua, kwa kuwa nimetoka kwake, naye ndiye aliyenituma.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini mimi namjua kwa sababu nimetoka kwake, naye ndiye aliyenituma.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini mimi namjua kwa sababu nimetoka kwake, naye ndiye aliyenituma.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini mimi namjua kwa sababu nimetoka kwake, naye ndiye aliyenituma.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mimi namjua kwa kuwa nimetoka kwake, naye ndiye alinituma.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mimi namjua kwa kuwa nimetoka kwake, naye ndiye alinituma.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mimi namjua, kwa kuwa nimetoka kwake, naye ndiye aliyenituma.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 7:29
13 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Nimekabidhiwa vyote na Baba yangu; wala hakuna amjuaye Mwana, ila Baba; wala hakuna amjuaye Baba, ila Mwana, na yeyote ambaye Mwana apenda kumfunulia.


Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wowote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua.


kama vile Baba anijuavyo, nami nimjuavyo Baba. Nami nautoa uhai wangu kwa ajili ya kondoo.


Yesu, huku akijua ya kuwa Baba amempa vyote mikononi mwake, na ya kuwa alitoka kwa Mungu naye anakwenda kwa Mungu,


Kama vile ulivyonituma mimi ulimwenguni, nami vivyo hivyo niliwatuma hao ulimwenguni.


Si kwamba mtu amemwona Baba, ila yeye atokaye kwa Mungu; huyo ndiye aliyemwona Baba.


Wala ninyi hamkumjua; lakini mimi namjua. Nikisema ya kwamba simjui, nitakuwa mwongo kama ninyi; lakini namjua, na neno lake nilishika.


(na uzima huo ulidhihirika, nasi tumeona, tena tunashuhudia, na kuwahubiria ninyi ule uzima wa milele, uliokuwa kwa Baba, ukadhihirika kwetu);


Na sisi tumeona na kushuhudia ya kuwa Baba amemtuma Mwana kuwa Mwokozi wa ulimwengu.


Katika hili pendo la Mungu lilionekana kwetu, kwamba Mungu amemtuma Mwanawe pekee ulimwenguni, ili tupate uzima kwa yeye.