Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 7:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mkutano wakajibu, Ama! Una pepo! Ni nani anayetafuta kukuua?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hapo watu wakamjibu, “Una pepo wewe! Nani anataka kukuua?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hapo watu wakamjibu, “Una pepo wewe! Nani anataka kukuua?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hapo watu wakamjibu, “Una pepo wewe! Nani anataka kukuua?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ule umati wa watu wakamjibu, “Wewe una pepo mchafu! Ni nani anayetaka kukuua?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ule umati wa watu ukamjibu, “Wewe una pepo mchafu! Ni nani anayetaka kukuua?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mkutano wakajibu, Ama! Una pepo! Ni nani anayetafuta kukuua?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 7:20
11 Marejeleo ya Msalaba  

Yamtosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumwa kuwa kama bwana wake. Ikiwa wamemwita mwenye nyumba Beelzebuli, je! Si zaidi wale walio wa nyumbani mwake?


Lakini Mafarisayo waliposikia, walisema, Huyu hatoi pepo, ila kwa Beelzebuli mkuu wa pepo.


Lakini Mafarisayo wakasema, Kwa nguvu za mkuu wa pepo atoa pepo.


kwa vile walivyosema, Ana pepo mchafu.


Wengi wao wakasema, Ana pepo huyu, tena ana wazimu; mbona mnamsikiliza?


Wayahudi wakajibu, wakamwambia, Je! Sisi hatusemi vema ya kwamba wewe u Msamaria, nawe una pepo?


Yesu akajibu, Mimi sina pepo; lakini mimi namheshimu Baba yangu, na ninyi mwanivunjia heshima yangu.


Basi Wayahudi wakamwambia, Sasa tumeng'amua ya kuwa una pepo. Abrahamu amekufa, na manabii wamekufa; nawe wasema, Mtu akilishika neno langu, hataonja mauti milele.


Alipokuwa akijitetea hivi, Festo akasema kwa sauti kuu, Paulo, una wazimu, kusoma kwako kwingi kumekugeuza akili.