Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 4:50 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yesu akamwambia, Nenda; mwanao yu hai. Mtu yule akaliamini lile neno aliloambiwa na Yesu, naye akashika njia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akamwambia, “Nenda tu, mwanao ataishi.” Huyo mtu akaamini maneno ya Yesu, akaenda zake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akamwambia, “Nenda tu, mwanao ataishi.” Huyo mtu akaamini maneno ya Yesu, akaenda zake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akamwambia, “Nenda tu, mwanao ataishi.” Huyo mtu akaamini maneno ya Yesu, akaenda zake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akamjibu, “Nenda zako, mwanao yu hai.” Yule afisa akaamini yale maneno Isa aliyomwambia, akaenda zake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akamjibu, “Enenda zako, mwanao yu hai.” Yule afisa akaamini yale maneno Isa aliyomwambia, akaondoka akaenda zake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yesu akamwambia, Nenda; mwanao yu hai. Mtu yule akaliamini lile neno aliloambiwa na Yesu, naye akashika njia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 4:50
12 Marejeleo ya Msalaba  

Lile pipa la unga halikupunguka, wala ile chupa ya mafuta haikuisha, sawasawa na neno la BWANA alilolinena kwa kinywa cha Eliya.


Naye Yesu akamwambia yule afisa, Nenda zako; na iwe kwako kama ulivyoamini. Mtumishi wake akapona wakati ule ule.


Alipowaona aliwaambia, Nendeni, mkajioneshe kwa makuhani. Ikawa walipokuwa wakienda walitakasika.


Yesu akamwambia, Mimi sikukuambia ya kwamba ukiamini utauona utukufu wa Mungu?


Yule ofisa akamwambia, Bwana, ushuke mtoto wangu asije akafa.


Na alipokuwa akishuka, watumwa wake walimlaki, wakisema ya kwamba mtoto wake yu hai.


akihesabu ya kuwa Mungu aweza kumfufua hata kutoka kuzimu; akampata tena toka huko kwa mfano.