Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 20:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na wowote mtakaowaondolea dhambi, wameondolewa; na wowote mtakaowafungia dhambi, wamefungiwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mkiwasamehe watu dhambi zao, wamesamehewa; msipowasamehe, hawasamehewi.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mkiwasamehe watu dhambi zao, wamesamehewa; msipowasamehe, hawasamehewi.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mkiwasamehe watu dhambi zao, wamesamehewa; msipowasamehe, hawasamehewi.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mkimwondolea mtu yeyote dhambi zake, zitaondolewa; na yeyote msiyemwondolea dhambi zake, hazitaondolewa.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mkimwondolea mtu yeyote dhambi zake, zitaondolewa, na yeyote msiyemwondolea dhambi zake, hazitaondolewa.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wowote mtakaowaondolea dhambi, wameondolewa; na wowote mtakaowafungia dhambi, wamefungiwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 20:23
11 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; na lolote utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni; na lolote utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni.


Amin, nawaambieni, yoyote mtakayoyafunga duniani yatakuwa yamefungwa mbinguni; na yoyote mtakayoyafungua duniani yatakuwa yamefunguliwa mbinguni.


Naye akiisha kusema hayo, akawavuvia, akawaambia, Pokeeni Roho Mtakatifu.


Huyo manabii wote humshuhudia, ya kwamba kwa jina lake kila amwaminiye atapata ondoleo la dhambi.


Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu.


Katika jina la Bwana wetu Yesu, ninyi mkiwa mmekusanyika pamoja na roho yangu, pamoja na uweza wa Bwana wetu Yesu;


Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ni jiwe kuu la pembeni.


Katika hao wamo Himenayo na Iskanda, ambao nimempa Shetani watu hao, ili wafundishwe wasimtukane Mungu.