Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 19:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na tena andiko lingine lanena, Watamtazama yeye waliyemchoma.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tena Maandiko mengine yanasema: “Watamtazama yule waliyemtoboa.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tena Maandiko mengine yanasema: “Watamtazama yule waliyemtoboa.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tena Maandiko mengine yanasema: “Watamtazama yule waliyemtoboa.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tena andiko lingine lasema, “Watamtazama yeye waliyemchoma.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tena Andiko lingine lasema, “Watamtazama yeye waliyemchoma.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na tena andiko lingine lanena, Watamtazama yeye waliyemchoma.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 19:37
3 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nitawamwagia watu wa nyumba ya Daudi, na wenyeji wa Yerusalemu, roho ya neema na kuomba; nao watamtazama yeye ambaye walimdunga; nao watamwombolezea, kama vile mtu amwombolezeavyo mwanawe wa pekee; nao wataona uchungu kwa ajili yake, kama vile mtu aonavyo uchungu kwa ajili ya mzaliwa wake wa kwanza.


Tazama, yuaja na mawingu; na kila jicho litamwona, na hao waliomchoma; na makabila yote ya dunia yataomboleza kwa ajili yake. Naam. Amina.