Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 8:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Basi, uwaulize, tafadhali, vizazi vya zamani, Ujitie kuyaangalia yale baba zao waliyoyatafuta;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Jifunze tafadhali kwa wale waliotutangulia, zingatia mambo waliyogundua hao wazee.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Jifunze tafadhali kwa wale waliotutangulia, zingatia mambo waliyogundua hao wazee.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Jifunze tafadhali kwa wale waliotutangulia, zingatia mambo waliyogundua hao wazee.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Ukaulize vizazi vilivyotangulia na uone baba zao walijifunza nini,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Ukaulize vizazi vilivyotangulia na uone baba zao walijifunza nini,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi, uwaulize, tafadhali, vizazi vya zamani, Ujitie kuyaangalia yale baba zao waliyoyatafuta;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 8:8
15 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme Rehoboamu akataka shauri kwa wazee, waliosimama mbele ya Sulemani baba yake, alipokuwa hai bado, akasema, Mnanipa shauri gani la kuwajibu watu hawa?


Wazee ndio walio na hekima, Na katika kuishi siku nyingi iko fahamu.


Tazama, jicho langu limeyaona hayo yote, Sikio langu limeyasikia na kuyaelewa.


Wenye mvi, na walio wazee sana, wote wapo pamoja nasi, Ambao ni wazee kuliko baba yako.


(Ambayo watu wenye hekima wameyatangaza Tokea baba zao, wala hawakuyaficha;


Je! Hujui neno hili tangu zamani za kale, Tangu wanadamu kuwekwa juu ya nchi,


Ee Mungu, tumesikia kwa masikio yetu Baba zetu wametuambia, Matendo uliyoyatenda siku zao, siku za kale.


Aliye hai, naam, aliye hai, ndiye atakayekusifu, kama mimi leo; Baba atawajulisha watoto uaminifu wako.


Sikieni haya, enyi wazee; Sikilizeni, enyi wenyeji wote wa nchi. Je! Mambo haya yamekuwako katika siku zenu, Au katika siku za baba zenu?


Kwa kuwa yote yaliyotangulia kuandikwa yaliandikwa ili kutufundisha sisi; ili kwa saburi na faraja ya Maandiko tupate kuwa na tumaini.


Basi mambo hayo yaliwapata wao kwa jinsi ya mifano, yakaandikwa ili kutuonya sisi, tuliofikiwa na miisho ya nyakati.


Kumbuka siku za kale, Tafakari miaka ya vizazi vingi; Mwulize baba yako, naye atakuonesha; Wazee wako, nao watakuambia.


Tazama siku zilizopita, zilizokuwa kabla yako, tangu siku ile Mungu aliyoumba mwanadamu juu ya nchi, na kutoka pembe hii ya mbingu hadi ile, kama kumetukia neno lolote kama neno hili kubwa, au kwamba kumesikiwa habari ya neno kama hili?