Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 8:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Tazama, Mungu hatamtupa mtu mkamilifu, Wala hatawathibitisha watendao uovu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Tazama! Mungu hatamkataa mtu asiye na hatia, wala kuwasaidia waovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Tazama! Mungu hatamkataa mtu asiye na hatia, wala kuwasaidia waovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Tazama! Mungu hatamkataa mtu asiye na hatia, wala kuwasaidia waovu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Hakika Mungu hamkatai mtu asiye na hatia, wala kuitia nguvu mikono ya mtenda maovu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Hakika Mungu hamkatai mtu asiye na hatia, wala kuitia nguvu mikono ya mtenda mabaya.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tazama, Mungu hatamtupa mtu mkamilifu, Wala hatawathibitisha watendao uovu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 8:20
10 Marejeleo ya Msalaba  

La hasha! Usifanye hivyo, ukamwue mwenye haki pamoja na mwovu, mwenye haki awe kama mwovu. Hasha! Mhukumu ulimwengu wote asitende haki?


Kwamba mwovu huachiliwa katika siku ya msiba? Na kuongozwa nje katika siku ya ghadhabu?


Kumbuka, tafadhali, ni nani aliyeangamia akiwa hana hatia? Au ni wapi hao waelekevu walikatiliwa mbali?


Hayo yote ni mamoja; kwa hiyo nasema, Yeye huangamiza wakamilifu na waovu pia.


Walilia, naye BWANA akasikia, Akawaponya kutoka kwa taabu zao zote.


Ajapojikwaa hataanguka chini, Maana BWANA humshika mkono na kumtegemeza.


Umwangalie sana mtu mkamilifu, Umtazame mtu mnyofu, Maana mwisho wake mtu huyo ni amani.


Kwa kuwa BWANA hatawatupa watu wake, Wala hutauacha urithi wake,


Aendaye kwa unyofu huenda salama; Bali apotoshaye njia zake atajulikana.


Haya ndiyo BWANA amwambiayo Koreshi, masihi wake, ambaye nimemshika mkono wake wa kulia, ili kutiisha mataifa mbele yake, nami nitalegeza nguvu za wafalme; ili kufungua milango mbele yake, hata malango hayatafungwa.