Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yobu 8:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wewe utanena maneno haya hadi lini? Maneno ya kinywa chako yatakuwa kama upepo mkuu hadi lini?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Utasema mambo haya mpaka lini? Mpaka lini maneno yako yatakuwa matupu kama upepo?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Utasema mambo haya mpaka lini? Mpaka lini maneno yako yatakuwa matupu kama upepo?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Utasema mambo haya mpaka lini? Mpaka lini maneno yako yatakuwa matupu kama upepo?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Hata lini wewe utasema mambo kama haya? Maneno yako ni kama upepo mkuu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Hata lini wewe utasema mambo kama haya? Maneno yako ni kama upepo mkuu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wewe utanena maneno haya hadi lini? Maneno ya kinywa chako yatakuwa kama upepo mkuu hadi lini?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yobu 8:2
14 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Toka, usimame mlimani mbele za BWANA. Na tazama, BWANA akapita; upepo mwingi wa nguvu ukaipasua milima, ukaivunjavunja miamba mbele za BWANA; lakini BWANA hakuwamo katika upepo ule; na baada ya upepo, tetemeko la nchi; lakini BWANA hakuwamo katika lile tetemeko la nchi;


Je! Yapasa mtu mwenye hekima kujibu kwa ujuzi wa uvuvio, Na kulijaza tumbo lake upepo wa mashariki?


Je! Maneno yasiyo faida yatakuwa na mwisho? Au, kuna nini kinachokukasirisha, hata ukajibu?


Je! Hata lini utayawinda maneno kwa mitego? Fikiri, kisha baadaye tutanena.


Je! Mwafikiri kuyakemea maneno? Maana maneno ya huyo aliyekata tamaa ni kama upepo.


Kwamba Mungu angekuwa radhi kuniponda; Kwamba angeulegeza mkono wake na kunikatilia mbali!


Kwa hiyo sitakizuia kinywa changu; Nitanena kwa mateso ya roho yangu; Nitalia kwa uchungu wa nafsi yangu.


Ndipo Bildadi huyo Mshuhi akajibu, na kusema,


Basi Musa na Haruni wakaingia kwa Farao, na kumwambia, BWANA, Mungu wa Waebrania, asema hivi, Je! Utakataa hata lini kujinyenyekeza mbele zangu? Wape watu wangu ruhusa waende zao, ili wanitumikie.


Ndipo watumishi wa Farao wakamwambia, Mtu huyu atakuwa tanzi kwetu sisi hadi lini? Wape hawa watu ruhusa waende zao, wamtumikie BWANA, Mungu wao; hujatambua bado ya kuwa Misri imekwisha haribika?


Enyi wajinga, hata lini mtapenda ujinga? Na wenye dharau kupenda dharau yao, Na wapumbavu kuchukia maarifa?


na manabii watakuwa upepo, wala neno lake halimo ndani yao; basi ndivyo watakavyotendwa.